Highlights | Azam FC 6-1 Mbeya City | NBCPL - 31/12/2022

3 miezi imepita 58


Tazama mambo yalivyokuwa wakati Azam FC ikiishushia kichapo cha mabo 6-1 Mbeya City. Magoli yamefungwa na Abdul Sopu, Prince Dube, Iddy Nado, Clephace Mkandala na Keneth Muguna kwa upande wa Azam FC. Na Richardson Ng'odya akaweka moja la kufutia machozi kwa Mbeya City
Source : AzamTV

SHARE THIS POST