Mbunge aliyekuwa kamishna wa kwanza wa ardhi Dodoma afichua MAZITO "Tusiingie kwenye migogoro"
Mbunge wa Ludewa (CCM) Joseph Kamonga akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka wa fedha 2023/24.